Menu ›
Burudani
Tue, 4 Jun 2024
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Msanii wa Marekani Bandman Kevo, amezidi kuwa gumzo mitandaoni hii ni baada ya kushea video ikionyesha amechora Tattoo kwenye mwili wake yenye sura za matajiri wakubwa duniani.
Mwili wake kuanzia sehemu za mapajani amewachora mabilionea hao ikiwa ni pamoja na Elon Musk, Mark Zuckerberg, Jeff Bezos na Matajiri wengine.
Tajiri gani unaweza kumchora kwenye Mwili wako?
Chanzo: www.tanzaniaweb.live