Burudani

Habari

Michezo

Biashara

Afrika

Live Radio

Nchi

Kijamii

Lifestyle

SIL

Kesi ya Masogange yapigwa kalenda

5113 13686975 167999753630658 122360205 N TZW

Wed, 21 Mar 2018 Chanzo: bongo5.com

Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu leo March 21 ime imeisogeza mbele kesi ya mrembo wa video nchini Agnes Gerald maarufu kama Masogange.



Mrembo huyo ambaye anatuhumiwa kwa kesi ya utumiaji wa madawa ya kulevya, imeahirishwa kutokana na wakili wake Ruben Simwanza kudai mteja wake huyo amelazwa katika hospitali moja hapa jijini Dar es salaam.

Hakimu ambaye anasikiliza kesi hiyo, Willbard Mashauri ametaja tarehe nyingine itakayoendelea kesi hiyo ambayo ni April 4 ya mwaka huu.

Chanzo: bongo5.com