Muongozaji wa Video Tz Director Kenny amefunguka sababu zilizompelekea kuacha kufanya kazi na Staa wa Muziki @diamondplatnumz huku akidai kuwa stori za kuwa #Diamond alitoka kimapenzi na aliekuwa Mpenzi wake kuwa ndio sababu hata yeye zilikuwa zinamshangaza.
Muongozaji wa Video Tz Director Kenny amefunguka sababu zilizompelekea kuacha kufanya kazi na Staa wa Muziki @diamondplatnumz huku akidai kuwa stori za kuwa #Diamond alitoka kimapenzi na aliekuwa Mpenzi wake kuwa ndio sababu hata yeye zilikuwa zinamshangaza. Akiwa kwenye mahojiano na #XXL ya #CloudsFM #Kenny amesema kuwa sababu kubwa iliyopelekea wao kuacha kufanya kazi ilikuwa ni Biashara tu na huwenda muda wowote wakarudi kufanya kazi pamoja. .