Menu ›
Burudani
Mon, 5 Feb 2024
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Msanii wa Hip-Hop kutokea Marekani, Kendrick Lamar amekuwa mmoja ya wasanii ambao hawajaambulia hata tuzo moja ya GRAMMY kwa usiku wa jana katika vipengele vyote vitatu alivyokuwa akiwania
Lamar alikuwa akiwania katika vipengele kama;
*Music Video - Count Me Out,
*Rap Performance - The Hillbillies na
*Music Film - Kendrick Lamar Live: The Big Steppers Tour
Mwaka jana katika tuzo hizohizo Kendrick Lamar alishinda tuzo katika kipengele cha 'Best Rap Albam' kupitia albam yake ya "Mr.Morale & The Big Steppers"
Chanzo: www.tanzaniaweb.live