Burudani

Habari

Michezo

Biashara

Afrika

Live Radio

Nchi

Kijamii

Lifestyle

SIL

Kayumba atamani kolabo ya AY, Mwana FA na Ommy Dimpoz

Kayumbaa Kayumba atamani kolabo ya AY, Mwana FA na Ommy Dimpoz

Fri, 8 Oct 2021 Chanzo: eatv.tv

Hitmaker wa Bongo Fleva, Kayumba ameonyesha nia na matamanio ya kutaka kufanya kazi ya pamoja (collabo) na kaka zake kwenye game ambao ni Mwana FA,  AY na Ommy Dimpoz.

Kayumba amefunguka hilo kupitia ukurasa wake wa instagram baada ya ku-post picha na wakali hao wa Bongo Fleva walizopiga kwenye siku ya usikilizwaji wa albamu mpya ya Alikiba 'Only One King' na kuambatanisha ujumbe wenye matamanio ya  kufanya chorus kwenye wimbo utakaowakutanisha pamoja.

 

Chanzo: eatv.tv