Menu ›
Burudani
Sun, 2 Oct 2022
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Msanii Kayumba amefunga juu ya Ukaribu wake na Muigizaji wa Filamu Irene Uwoya kwa sasa, Amesema kuwa yeye na #Uwoya ni Washikaji na kuna muda huwa anamsaidia Hela kwa ajili ya kushoot Video.
Akizungumza katika Kipindi cha #FreshWeekend cha #WasafiFm Kayumba Amesema...
"Hivi sasa Kayumba amebaki kama mshikaji, tunawasiliana pia kuna muda ananisaidia Hela ya kushuti Video za Nyimbo zangu, hakuna chochote zaidi ya Ushikaji tu.”
Chanzo: www.tanzaniaweb.live