Menu ›
Burudani
Mon, 2 Oct 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Producer wa muziki Mr T Touch anasema wasanii aliowatengeneza kupitia mikono yake na kufanya nao kazi wana nguvu pia hajawahi kufanya kazi na msanii halafu asipate pesa.
"Mimi wasanii wote niliowatengeneza kwenye hii game wapo strong, anza na Billnass, Darassa na Nay Wa Mitego, kwanza sijawahi kufanya kazi na msanii asipate pesa".
Mr T Touchez anasema sio kama anajigamba bali ni kuonesha uwezo wake wa kufanya kazi.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live