Menu ›
Burudani
Wed, 7 Feb 2024
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Huwenda ujumbe wa Staa, Kajala akimwambia mtoto wake Paula kuwa muda wa yeye kuitwa bibi ulikuwa bado kidogo ukathibitisha kuwa mtoto wake na Staa wa muziki Marioo wanatarajia kupata mtoto hivi karibuni.
Huwenda ujumbe wa Staa, Kajala akimwambia mtoto wake Paula kuwa muda wa yeye kuitwa bibi ulikuwa bado kidogo ukathibitisha kuwa mtoto wake na Staa wa muziki Marioo wanatarajia kupata mtoto hivi karibuni. "Don’t forgive shit, people know exactly what they’re doing…. #sexbibi ila paula muda wa kuwa bibi ulikuwa bado kidogo jamani" aliandika Kajala kupitia ukurasa wake wa Instagram.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live