Menu ›
Burudani
Wed, 6 Sep 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Baraza la Sanaa la Taifa (BASATA) limeeleza kusikitishwa kwake na Mwanamuziki Ney wa Mitego ambae ameitwa mara mbili na walezi hao wa Sanaa nchini lakini amekaidi wito huo.
Aidha BASATA wamesema kuwa suala Msanii huyo kuhitajika mbele ya vyombo vya Dola sio suala lao kwani wao hawana mamlaka hayo.
Yote haya yanakuja baada ya Mwanamuziki huyo kuachia wimbo wake wa 'Amkeni'
Wasikilize BASATA wakizungumza kwenye Video hapa chini;
Chanzo: www.tanzaniaweb.live