Menu ›
Burudani
Thu, 29 Feb 2024
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Rapa kutoka Marekani Kanye West(46), amebadili jina (User name) alilokuwa anatumia Instagram na sasa anatambuliwa kama @Ye.
Mshindi huyo wa Tuzo 24 za Grammy alikuwa akilitaja jina hilo la 'Ye' mara kadhaa lakini hivi sasa ndio amefikia uamuzi wa kubadili jina lake
Kwenye akaunti hiyo, Kaneye amemfollow mtu mmoja ambaye ni msanii mwenzake, @tydollasign.
Aidha, Kanye amemlalamikia mzazi mwenzake, Kim Kardashian kwa kumtenga yeye kama baba kuwaona watoto wake na kuwapa haki yao ya malezi.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live