Menu ›
Burudani
Mon, 12 Mar 2018
Chanzo: bongo5.com
Msanii wa muziki Bongo, Shetta amefunguka kwa kutoa somo kwa wanaodhania kupoteza rafiki au marafiki basi hawezi kusonga mbele katika maisha.
Hitmaker huyo wa ‘Vumba’ ametoa somo hilo kwa katika mtandao wa kijamii wa Instagram “Kama haupotezi marafiki basi haukubali kukuwa.”
“If You’re Not losing friends… You’re Not growing up….. !!
Chanzo: bongo5.com