Burudani

Habari

Michezo

Biashara

Afrika

Live Radio

Nchi

Kijamii

Lifestyle

SIL

Kajala afunguka kuongeza mtoto wa pili na mipango ya mwanae

5687 Qwqwqwqwqwqw Bongo5 TZW

Wed, 4 Apr 2018 Chanzo: bongo5.com

Msanii wa filamu Bongo, Kajala Masanja amesema hatarajii kabisa kuwa mwanae, Paula ataingia katika tasnia ya burudani nchini.



Muigizaji huyo ameiambia Planet Bongo ya EA Radio mwanae ana mpango wa kuwa mwanasheria na si nje ya hapo.

“Hivi vitu industry, sijui radio, muziki, movie hapana , hayupo interest kabisa yeye kila siku anaseama anataka kuwa mwanasheria, kwa tunasubiria amalize shule tuwe na mwanasheria mkali,” amesema.

Alipoulizwa kuhusu kuongeza mtoto wa pili, alijibu; “Mungu akijalia atotokea mwingine tu soon,”.

Chanzo: bongo5.com