Burudani

Habari

Michezo

Biashara

Afrika

Live Radio

Nchi

Kijamii

Lifestyle

SIL

Kabla ya mwaka kuisha tarajia Diva The Bawse kuanza kuitwa mama

3212 Sequence 01.Still0521

Wed, 14 Feb 2018 Chanzo: millardayo.com

Baada ya headlines za mtangazaji wa Clouds FM Diva The Bawse kudaiwa kuachana na mpenzi wake Heri Muziki kufuatia tofauti zao zilizotokea wakiwa kwenye interview Leo Tena, leo  kupitia ukurasa wake wa twitter ameandika ujumbe uliowashitua wengi na kuzua maswali.

Kupitia katika twitter account yake Diva ameandika “Tangaza mwaka huu lazima niwe na ujauzito By ANY MEANS… Anzeni countdown” Kauli hiyo ya Diva imezidi kuleta maswali kwani yeye ni mjamzito? Kama sio atazaaa na nani?



Tunasikia Diva na Heri Muziki wameachana ? Lakini wajuzi wa mambo wanadai kuwa kwa kauli hiyo basi Diva atakuwa mjamzito tayari maana kama anatamani kupata mtoto ndani ya mwaka huu, kwa sasa imebakia miezi 9 mwaka uishe so kama sio mjamzito  ni wazi hawezi kupata mtoto ndani ya mwaka huu hapo itakuwa mwakani.



Kingine cha kufahamu kutoka Wasafi Fm na Wasafi Tv

Chanzo: millardayo.com