Burudani

Habari

Michezo

Biashara

Afrika

Live Radio

Nchi

Kijamii

Lifestyle

SIL

Kabla ya WCB; Laiza alishafanya kazi na Alikiba, mwenyewe atoa orodha kamili

9047 Z Bongo5 Pix TZW

Wed, 13 Jun 2018 Chanzo: bongo5.com

/>

Laiza akipiga stori na Wasafi TV amewataja wasanii hao kuwa Ice Prince, Ommy Dimpoz, Alikiba na Sharo Milionea.

“Kabla ya kuja WCB nilishafanyia kazi ngoma kubwa, za wasanii wakubwa. Nakumbuka nishawahi kufanya kazi na Ice Prince wa Nigeria, nakumbuka nilishawahi kufanya kazi na Ommy Dimpoz, nilishawahi kufanya kazi pia na Alikiba na marehemu Sharo Milionea,” amesema Laiza.

Ndani ya Wasafi Recors, Laiza ametengeneza hits kibao kama Kokoro ya Rich Mavoko, Kwa Ngwaru ya Harmonize, Eneka ya Diamond, Bora Tuachane ya Lava Lava, Kwetu ya Rayvanny, Kijuso ya Queen Darleen, Picha Yake ya Mbosso na nyinginezo kibao.

Loading...
Chanzo: bongo5.com