Mwanamuziki @k2ga_tz kutoka #KingsMusic amefunguka kuwa wakati anaimba mtaani na sauti yake kufananishwa na @officialalikiba watu walikuwa wanamwambia kuwa #Alikiba ana roho mbaya akimsikia atamzingua sana . K2ga anasema kuwa hali ilikuwa tofauti kwasababu alivyokutana na Alikiba alivutiwa sana na uimbaji wake mpaka kuamua kumsaini kwenye lebo yake .
Mwanamuziki @k2ga_tz kutoka #KingsMusic amefunguka kuwa wakati anaimba mtaani na sauti yake kufananishwa na @officialalikiba watu walikuwa wanamwambia kuwa #Alikiba ana roho mbaya akimsikia atamzingua sana . K2ga anasema kuwa hali ilikuwa tofauti kwasababu alivyokutana na Alikiba alivutiwa sana na uimbaji wake mpaka kuamua kumsaini kwenye lebo yake .