Menu ›
Burudani
Sun, 23 Oct 2022
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Mkongwe wa mziki wa HipHop Bongo Soggy Doggy Anter amemtaja msanii Jux kuwa ndio msanii msafi kuliko wote nchini Tanzania.
Soggy Doggy amesema Jux ni msanii msafi baada ya kukaa naye kwa siku nne mpaka tano na kugudundua msanii huyo anapenda kuoga kila wakati na kunukia.
"Mimi hata ukinimsha usiku ukaniuliza msanii gani ni msafi kuliko wote nitakuambia ni Jux," alisema Soggy.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live