Kila msanii aliyehudhuria harusi ya Shilole na Uchebe alitoa zawadi ya aina yake kwa wawili hao, Jux alisema yeye anachofanya kama zawadi kwa Shilole ni kumsomesha mtoto wake moja kwa kipindi cha mwaka mmoja ambapo pia mpenzi wake Vee Money alisema atamlipia muimbaji huyo kulala katika hotel ya nyota tano ya Kilimanjaro.
Kila msanii aliyehudhuria harusi ya Shilole na Uchebe alitoa zawadi ya aina yake kwa wawili hao, Jux alisema yeye anachofanya kama zawadi kwa Shilole ni kumsomesha mtoto wake moja kwa kipindi cha mwaka mmoja ambapo pia mpenzi wake Vee Money alisema atamlipia muimbaji huyo kulala katika hotel ya nyota tano ya Kilimanjaro.