Menu ›
Burudani
Sat, 6 Jan 2024
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Baadhi ya mambo unayoona kwa Jux kama kununua magari mazuri na kupendeza, ni miongoni mwa mambo ambayo amerithi kutoka kwa marehemu Baba yake.
Baadhi ya mambo unayoona kwa Jux kama kununua magari mazuri na kupendeza, ni miongoni mwa mambo ambayo amerithi kutoka kwa marehemu Baba yake. "Mzee wangu alikuwa msafi sana, anajipenda, anaendesha mipira mikali (magari mazuri) nini, kule Lumumba alikuwa anaingiza magari makali anauza," amesema Jux.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live