Menu ›
Burudani
Thu, 22 Dec 2022
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Mwanamuziki Justin Bieber ameripotiwa kuwa yupo mbioni kuuza haki za nyimbo zake zote kwa kiasi cha ($200 million) ambayo ni zaidi ya TSh. Bilioni 466
Mwanamuziki Justin Bieber ameripotiwa kuwa yupo mbioni kuuza haki za nyimbo zake zote kwa kiasi cha ($200 million) ambayo ni zaidi ya TSh. Bilioni 466 Kama dili hilo litafanikiwa Bieber atakuwa ameungana na manguli kama Bruce Springsteen, Bob Dylan, na Stevie Nicks kuuza hatimiliki ya kazi zao za Muziki miaka ya hivi karibuni.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live