Menu ›
Burudani
Thu, 10 May 2018
Chanzo: bongo5.com
Msanii wa muziki, Juma Nature baada ya kushindwa kufanya vizuri kwa muda mrefu, amejipanga upya kuachia nyimbo zake tatu mfululizo zilizoandaliwa na studio tatu tofauti akiwemo, Ttouch Sound, Mj Record pamoja Bongo Record. Akiongea na Bongo5 Jumatano hii meneja wa muimbaji huyo, Rich One amedai kwa maadalizi waliyoyafanya bila shaka kila kitu mkongwe huyo atarudi kwenye chati.
Loading...
Chanzo: bongo5.com