Menu ›
Burudani
Sun, 22 Jan 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Mtangazaji wa Wasafi Fm @jumalokole20 amefunguka kuwazungumzia wanaobeza gari yake mpya Range ambayo amedai ameinunua kwa tsh Mil. 85.
Amedai watu wangi wanadhani hawezi nunua gari kama hiyo wakati anajenga ghorofa yake Kigamboni Dar Es Salaam.
“Hii ni Lokole 1, mjengo wangu ukiisha Kigamboni utakuwa Lokole 2,” alisema Juma Lokole.
Aliongeza “Ghorofa yangu ipo Kigamboni jirani na Irene Uwoya na Kitale, nipo kwenye hatua za mwisho,”
Chanzo: www.tanzaniaweb.live