Burudani

Habari

Michezo

Biashara

Afrika

Live Radio

Nchi

Kijamii

Lifestyle

SIL

Juma Lokole: Mnashangaa Range ya mil 85 nina ghorofa Kigamboni

Lokole Range Ghorofa.jpeg Juma Lokole

Sun, 22 Jan 2023 Chanzo: www.tanzaniaweb.live

Mtangazaji wa Wasafi Fm @jumalokole20 amefunguka kuwazungumzia wanaobeza gari yake mpya Range ambayo amedai ameinunua kwa tsh Mil. 85.

Amedai watu wangi wanadhani hawezi nunua gari kama hiyo wakati anajenga ghorofa yake Kigamboni Dar Es Salaam.

“Hii ni Lokole 1, mjengo wangu ukiisha Kigamboni utakuwa Lokole 2,” alisema Juma Lokole.

Aliongeza “Ghorofa yangu ipo Kigamboni jirani na Irene Uwoya na Kitale, nipo kwenye hatua za mwisho,”

Chanzo: www.tanzaniaweb.live