Menu ›
Burudani
Mon, 12 Feb 2018
Chanzo: bongo5.com
Mwanamuziki Lady Jaydee amewakosha villivyo mashabiki wake wakiwemo Mwanaharakati Joyce Kiria na Mwanamitindo Martin Kadinda pale alipokuwa akitumbuiza katika show yake ya ‘Valentines Party na Lady Jaydee’ ambayo imefanyika usiku wa kuamkia leo Jumapili Serena Hotel Dar es Salaam.
Kitu cha kushangaza pia kwa Joyce Kiria hakuambatana na mumewe, Henry Kilewo ambaye wiki kadhaa zilizopita alimtuhumu kumnyanyasa kijinsia.
Soma zaidi kuhusu tuhuma hizo bonyeza HAPA na kisha tazama video hapa chini kumuona yeye na Martin Kadinda wakisakata rumba.
Chanzo: bongo5.com