Burudani

Habari

Michezo

Biashara

Afrika

Live Radio

Nchi

Kijamii

Lifestyle

SIL

Jokate mbioni kuolewa

5086 26073109 514690332246320 5785342744671027200 N TZW

Tue, 20 Mar 2018 Chanzo: bongo5.com

Aliyekuwa Miss Tanzania namba mbili  mwaka 2006 na mwanamitindo kwa sasa, Jokate Mwegelo ameeleza kuwa yupo mbioni kuolewa.



Mwanamitindo huyo ambaye anatamba na brand ya Kidoti ametumia ukurasa wake wa mtandao wa Instagram kueleza hilo hata hivyo hakumtaja muhusika.

jokatemwegelo March Baby
Chanzo: bongo5.com