Menu ›
Burudani
Tue, 20 Mar 2018
Chanzo: bongo5.com
Aliyekuwa Miss Tanzania namba mbili mwaka 2006 na mwanamitindo kwa sasa, Jokate Mwegelo ameeleza kuwa yupo mbioni kuolewa.
Mwanamitindo huyo ambaye anatamba na brand ya Kidoti ametumia ukurasa wake wa mtandao wa Instagram kueleza hilo hata hivyo hakumtaja muhusika.
jokatemwegelo March Baby
Chanzo: bongo5.com