Menu ›
Burudani
Mon, 17 Oct 2022
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Mkuu wa Wwilaya ya Temeke, Jokate Mwegelo amefanyiwa sherehe fupi ya zawadi kabla ya kujifungua (baby shower) nyumbani kwake Temeke jijini Dar.
Video iliyovuja kwenye mitandao ya kijamii, imemuonesha Jokate ambaye alikuwa mwanamitindo kabla ya kuteuliwa kuwa mkuu wa wilaya, akicheza nyimbo mbalimbali na warembo kadhaa waliopata fursa ya kujumuika naye nyumbani kwake.
Jokate ambaye aneonekana 'amechoka' alicheza muziki wa Kwikwi wa Zuchu pamoja na nyimbo nyingine huku pia zawadi zikionekana kutaradadi nyumbani hapo.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live