Burudani

Habari

Michezo

Biashara

Afrika

Live Radio

Nchi

Kijamii

Lifestyle

SIL

Johari adai Gabo na Ray wakimtongoza atawapeleka hospitali, kisa?

4418 Johari Bongo5 TZW

Mon, 12 Mar 2018 Chanzo: bongo5.com

Msanii wa Filamu Bongo, Johari amedai iwapo ikatokea Gabo na Ray Kigosi wakamtongoza atahisi wamechangany

Muigizaji amesema Gabo na Ray ni kama kaka zake na yeye ni dada kwao, hivyo wakidhubutu kufanya hivyo atapeleka hospitali kwani watakuwa wamechanganyikiwa.

“Kwanza (Gabo) hatoweza kunitongoza kwa sababu mimi na yeye ni kama dada na kaka, tunaheshimina na ni ndugu, sasa atanitongozaje,” ameeleza.

Johari amesema hayo kupitia Kikaangoni, EATV, alipoulizwa kuhusu Ray Kigosi alijibu; “Nitamkatalia, mimi nitamkatalia!, sasa unajuaje mimi ni mtalaka wake?, hamna hawawezi, mimi nitawapeleka hospitali nitajua wamechanganyikiwa”.

Chanzo: bongo5.com