Menu ›
Burudani
Mon, 9 Oct 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Muigizaji wa Filamu nchini Johari Changula amedai kuwa hajawahi kuwa na mahusiano ya Kimapenzi na Wasanii Ray the Greatest na Marehemu Steven Kanumba.
Akijibu kwa kigugumizi kuhusu kutoka kimapenzi na mmoja yao au wote wawili akiwa kwenye kipindi cha #Sentro cha #CloudsTv.
"Sijawahi kuwa na Mahusiano nao lakini si unajua tena unapoigiza, Kwanza mahusiano gani kwa sababu wote nilikuwa na mahusiano nao," amesema Johari.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live