Menu ›
Burudani
Mon, 27 Dec 2021
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Ni headlines za mwanamuziki Harmonize ambae leo hii jina lake maarufu kama 'Konde' limeondolewa katika utambulisho wa mtoto wake wa kike #Zulekha aliyekua akifahamika kama #zuu_konde katika mtandao wa Instagram.
Bado haijawekwa wazi ni sababu zipi zilizo pelekea kubadilishwa kwa jina la mtoto huyo na utambulisho wa baba yake , ambapo kwa sasa umebaki utambulisho wa mama yake tu #officialShanteel.
Hivi karibuni zilisambaa video zinazo muonesha mrembo huyo akiwa na aliyekua shemeji wa mwanamuziki #diamondplatnumz na mfanya biashara maarufu @msizwa23.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live