Menu ›
Burudani
Mon, 5 Sep 2022
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Mrembo muuza sura kwenye kazi za wasanii, Jike Shupa ameweka wazi sifa za mwanaume ambaye anamtaka awe wake.
Jike Shupa amefunguka hayo alipokuwa akifanya mahojiano na Wasafi FM ambapo pamoja na mambo mengine, alisema mwanaume anayemtaka awe wake ni mweusi.
“Nampenda mwanaume mweusi, mrefu, na kifua fulani hivi cha wastani lakini kisivimbe sana. Sipendi mwanaume asiyekuwa na pesa au mweupe. Wanawake tumekuwa wadangaji tunapesa kuliko wanaume hivyo hata asipokuwa na hela nitamlea,” alisema Jike Shupa.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live