Menu ›
Burudani
Fri, 2 Sep 2022
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Soshalaiti matata Bongo, Jike Shupe ameibuka na mpya baada ya kusema ana mtoto mmoja lakini hamjui baba yake.
Jike Shupa amefunguka hayo alipokuwa akifanya mahojiano hivi karibuni alipokuwa kwenye kipindi cha Lavidavi ambapo pamoja na mambo mengine, alisimulia maisha yake binafsi.
“Mtoto wangu ana umri wa miaka mitatu, naishi naye mwenyewe. Nadanga ili niweze kupata maisha na mwanangu. Simfahamu baba mtoto, simjui na hata sijui yupo wapi,” alisema Jike Shupa.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live