Menu ›
Burudani
Thu, 26 May 2022
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Lady Jaydee au Jide; ni msanii mkongwe nchini Tanzania ambaye amewaonya watu ambao wana tabia ya kumpigia simu usiku hasa wakati wamelewa.
Kwa mujibu wa Jide, watu hao hufanya hayo ili kijionesha wako karibu naye, ilihali hawamuungi mkono kwenye kazi zake.
Kupitia Twitter, Jide ameandika; “Watu mnaonifahamu msiwe mnanipigia simu usiku mkiwa mmeshalewa baada ya kusikia nyimbo zangu huko mlipo ili watu waone mna ukaribu na mimi wakati you don’t even support my businesses wala shows hamji. Kuweni outsiders tu siwa-appreciate wala nini…”
Chanzo: www.tanzaniaweb.live