Kupitia The Breakfast Club, Kareem Burke maarufu kama ‘Biggs Burke’ ambaye ni mwanzilishi mwenza wa Roc-A-Fella Records ametuweka wazi kwamba, Jay-Z aliwahi kukataa kiasi cha ($3 million) zaidi ya TSh. Bilioni 7 kufanya maonesho mawili ambapo kila onesho moja alitakiwa kutumbuiza kwa saa moja pekee.
Kupitia The Breakfast Club, Kareem Burke maarufu kama ‘Biggs Burke’ ambaye ni mwanzilishi mwenza wa Roc-A-Fella Records ametuweka wazi kwamba, Jay-Z aliwahi kukataa kiasi cha ($3 million) zaidi ya TSh. Bilioni 7 kufanya maonesho mawili ambapo kila onesho moja alitakiwa kutumbuiza kwa saa moja pekee.