Menu ›
Burudani
Thu, 16 Nov 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Msanii nyota wa bongoflava, Judith Wambura ambaye anatamba na ngoma kali mbalimbali amesema hajawahi kumuonea wivu rafiki yake pindi akifanikiwa.
Jide amesema huwa anashangilia pindi rafiki yake akifanikiwa hadi sauti anatamani ikauke. Pia msanii huyo amewakaribisha marafiki zake katika usiku wake alioupa jina la Statement huku viingilio vikiwa Sh50,000 Sh250,000 na Sh500,000.
Msanii huyo karibuni alizua gumzo alipomletea zawadi mtalaka wake Gardner Habash ambaye kwasasa amekuwa rafiki yake
Chanzo: www.tanzaniaweb.live