Menu ›
Burudani
Sat, 2 Mar 2024
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Muigizaji na mwandishi Jada Smith ameweka wazi kuwa anatamani binti yake Willow Smith apate mahusiano yanayofanana na yake.
#Jada ameyasema hayo wakati alipokuwa katika mahojiano na podcast ya #PrettSmart ambapo amedai kuwa binti yake kuwa na mahusiano kama yake itamjenga kuwa mwanamke halisi kama alivyo yeye sasa, lakini haimaanishi avumilie mambo yasiyofaa.
Ikumbukwe kuwa mwishoni mwa mwaka jana #Jada aliweka wazi kuwa ametengena na mumewe muigizaji #WillSimth takribani miaka 7 iliyopita lakini wanaendelea kuishi pamoja kutokana na upendo walionao.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live