Menu ›
Burudani
Mon, 13 Nov 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Jacket la ngozi la Marehemu Michael Jackson lenye rangi nyeupe na nyeusi alilolivaa katika Tangazo la kinywaji miaka ya 1980 limenunuliwa kwa Dola 306,000 zaidi ya Sh.Milioni 766 huko London.
Jacket la ngozi la Marehemu Michael Jackson lenye rangi nyeupe na nyeusi alilolivaa katika Tangazo la kinywaji miaka ya 1980 limenunuliwa kwa Dola 306,000 zaidi ya Sh.Milioni 766 huko London. Jaketi hilo alilivaa Michael Jackson mwaka 1984 alipokuwa akishuti tangazo la Pepsi.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live