Menu ›
Burudani
Fri, 13 Oct 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Licha ya aliyekuwa mke wa Will Smith, Jada Pinkett Smith kumtaja marehemu Tupac Shakur kama kipenzi cha roho yake lakini alidai kuwa yeye na Tupac hawakuwa na mahusiano ya kimapenzi.
Licha ya aliyekuwa mke wa Will Smith, Jada Pinkett Smith kumtaja marehemu Tupac Shakur kama kipenzi cha roho yake lakini alidai kuwa yeye na Tupac hawakuwa na mahusiano ya kimapenzi. Aalisema hawakuwa na mahusiano ya kimapenzi kama wengi walivyozania kwa sababu hawakuendana hivyo walikuwa ni marafiki walioshibana tu.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live