Burudani

Habari

Michezo

Biashara

Afrika

Live Radio

Nchi

Kijamii

Lifestyle

SIL

JUX amwaga mahela kwa Vanessa avunja record kwa kununua CD 25 Mlimani City

1664 Ppoo 660x400

Mon, 22 Jan 2018 Chanzo: millardayo.com

January 20, 2018 Mwimbaji Staa wa kutoka Bongoflevani Vanessa Mdee amekutana na mashabiki wake  Mlimani City Dar es salaam na kuwauzia album yake mpya ya Money Mondays, JUX naye alikuwepo na alinunua CD 25.

Jux amesema kuwa amenunua CD 25 nyingine atawapa mashabiki wake lakini pia amefanya hivyo kwa ajili ya kumsupport Vanessa Mdee, msikilize hapa kwenye Exclusive interview kwa kubonyeza PLAY hapa chini..



Vanessa awapagawisha mashabiki mpaka Wachina wanunua Album Mlimani City

Chanzo: millardayo.com