Menu ›
Burudani
Mon, 9 Oct 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Mwigizaji nguli wa Filamu Bw. Jacob Stephen (JB) na Msanii wa Muziki Bi. Saraphina (Phina) wamefanikiwa kushinda Tuzo za Hollywood and African Prestigious (HAPAWARDS) za Hollywood, Marekani.
Tuzo zao zimepokelewa na Katibu Mtendaji wa Bodi ya Filamu Tanzania Dkt. Kiagho Kilonzo pamoja na Katibu Mtendaji wa Baraza la Sanaa la Taifa (BASATA) Dkt. Kedmon Mapana
Serikali kupitia Taasisi za Bodi ya Filamu na BASATA inawapongeza wasanii hawa kwa kuipeperusha bendera ya Tanzania kimataifa.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live