Burudani

Habari

Michezo

Biashara

Afrika

Live Radio

Nchi

Kijamii

Lifestyle

SIL

J. Cole, Wizkid na Davido kupanda jukwaa moja

3854 W TZW

Thu, 1 Mar 2018 Chanzo: bongo5.com

Msanii wa muziki kutoka Marekani J.Cole  anatarajiwa kutua nchini Nigeria ifikapo Mwezi April mwaka huu katika tamasha kubwa la muziki.



J.Cole anatarajiwa kutoa burudani katika jukwaa la Castle Lite Nigeria‘s Castle Lite Unlook litakalomkutanisha na wakali wa muziki kutoka nchini humo ambao ni Wizkid na Davido.

Tamasha hilo linatarajiwa kufanyika  April 27, 2018 katika ukumbi wa Eko Hotel & Suites jijini Lagos.

Mnamo mwaka 2017 mwezi Julai, waandaji wa Tamasha hili walimdondosha msanii wa Hip Hop kutoka Marekani, Future na msanii kutoka Afrika Kusini, Caspanyovest katika ardhi ya Tanzania kutoa burudani.

 

Chanzo: bongo5.com