Menu ›
Burudani
Sat, 26 Nov 2022
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Chawa maarufu wa Diamond Platnumz, Issa Azam ameitaja sababu ya lebo nyingi kushindwa kukaa na wasanii kuwa ni fedha.
Azam alitoa kauli hiyo hivi karibuni baada ya kuulizwa mtazamo wake juu baadhi ya lebo kukimbiwa na wasanii kulinganisha na Wasafi Classic Baby (WCB) ndipo alipopigilia msumali huo wamoto.
"Hakuna kupepesa maneno, hawana hela. Ukishakuwa huna hela na haina ubunifu na una roho mbaya hata uanzishe nini hakiwezi kwenda. Umeona Wasafi hapa, siti hii tumeagiza Dubai na ndege...tuna hela," alisema Azam.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live