Msanii wa filamu, Irene Uwoya amefunguka kuwazungumzia wanaomsema kaolewa na ‘kibeni 10’. Muigizaji huyo amesema haoni wala hasikii kitu juu ya mume wake, Dogo Janja. Wawili hao kwa mara kwanza waliongozana pamoja katika ndoa ya Shilole na Uchebe iliyofanyika weekend iliyopita huko mitaa ya Mikocheni kwa Mawaziri.
Msanii wa filamu, Irene Uwoya amefunguka kuwazungumzia wanaomsema kaolewa na ‘kibeni 10’. Muigizaji huyo amesema haoni wala hasikii kitu juu ya mume wake, Dogo Janja. Wawili hao kwa mara kwanza waliongozana pamoja katika ndoa ya Shilole na Uchebe iliyofanyika weekend iliyopita huko mitaa ya Mikocheni kwa Mawaziri.