Burudani

Habari

Michezo

Biashara

Afrika

Live Radio

Nchi

Kijamii

Lifestyle

SIL

Idris Sultan atoa neno kuhusu tuzo za Oscar

1850 26373684 567965000213176 5858751518240407552 N TZW

Thu, 25 Jan 2018 Chanzo: bongo5.com

Muigizaji wa filamu ambaye siku  zijazo anatarajia kwenda kuigiza katika filamu ya ‘The Blue Maurtius’ Idris Sultan, ametoa neno kwa Watanzania kuhusiana na majirani zetu Kenya kupata nafasi katika tuzo za filamu za Oscar.



Idris ametoa maneno katika mtandao wa Twitter na huku akionyeshwa kukerwa na baadhi ya watu wanaopenda umbea kuliko kazi.

“Kenya imepata Oscar award moja ya Lupita, imekua nominated Oscar award nyingine movie ya WATU WOTE na sasa wamefanikiwa kutengeneza satellite yao ya kwanza. Kwa kifupi watafanya yote ila hawatakaa watukute kwa instagram followers, sisi ndio noma. Satellite ndo nini ? Ina umbea ?,” ameandika Idris.

Chanzo: bongo5.com