Menu ›
Burudani
Mon, 26 Feb 2018
Chanzo: bongo5.com
Muigiza, mchekeshaji na mtangazaji wa Radio, Idris Sultan ametangaza ujio wa tour yake ya vichekesho iitayo ‘NOT FUNNY TOUR 2018’ itakayoanza mwezi wa nne mwaka huu.
Kupitia mtandao wa kijamii wa instagram, Idris ameweka bayana mikoa kama Dar Es Salaam, Arusha, Mwanza, Dodoma na Zanzibar kuwa ndiyo itakayoweza kufanikiwa kuona tour hiyo ya vichekesho.
“Mda wetu wa kuvunja records in selling out tickets umefika
Chanzo: bongo5.com