Menu ›
Burudani
Tue, 3 Apr 2018
Chanzo: bongo5.com
Mchekeshaji Idris Sultan amepata deal ya kushiriki katika tamthilia kubwa tatu nchini Marekani na Afrika Kusini. Hayo ameyasema muigizaji huyo jana akiwa katika tuzo za SZIFF zilizofanyika Jumapili hii Mlimani City jijini Dar es salaam.
Mchekeshaji Idris Sultan amepata deal ya kushiriki katika tamthilia kubwa tatu nchini Marekani na Afrika Kusini. Hayo ameyasema muigizaji huyo jana akiwa katika tuzo za SZIFF zilizofanyika Jumapili hii Mlimani City jijini Dar es salaam.
Chanzo: bongo5.com