Menu ›
Burudani
Fri, 2 Jun 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Staa wa Muziki kutoka Kondegang, Ibraah amewaomba mashabiki zake wa kike wasichore Tattoo ya Jina lake kwenye mapaja yao kwani wataleta shida kwenye mahusiano yao.
Staa wa Muziki kutoka Kondegang, Ibraah amewaomba mashabiki zake wa kike wasichore Tattoo ya Jina lake kwenye mapaja yao kwani wataleta shida kwenye mahusiano yao. Ibraah ameandika ujumbe huo kwenye Insta Story yake na kusababisha apate maoni mengi na tofauti kwenye mitandao ya kijamii.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live