Menu ›
Burudani
Thu, 22 Jun 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Mwanaume mmoja raia wa Ujerumani ameingia kwenye rekodi ya dunia ya Guiness (Guiness World Records) kwa kutoga mara nyingi zaidi.
Rolf Buchholz ametoga mara 519 sehemu mbalimbali za mwili wake mbali na kujiongeza pembe na 'tattoo'.
Buchholz aliwahi kusema “Watu wengi hufikiri mimi ni shetani, lakini siamini kuwa mimi ndiye.”
Chanzo: www.tanzaniaweb.live