Menu ›
Burudani
Wed, 14 Jun 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Hukumu ya Rapa Tory Lanez imesogezwa mbele hadi Agosti 7 kutoka Agosti 1,2023.
Hii ni baada ya Wakili wake kuomba mahakama kuahirisha hukumu ya rapa huyo na Jaji David Herriford amekubali kuisogeza mbele.
Rapa huyo anakabiliwa na kifungo cha zaidi ya miaka 22 lakini waendesha mashtaka wamependekeza kifungo cha miaka 13 jela baada ya kukutwa na hatia katika mashtaka matatu ya uhalifu Disemba,2022 kwa kumpiga risasi Megani Thee Stallion, mnamo Julai 12,2020.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live