Menu ›
Burudani
Wed, 22 Nov 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Msanii wa Afro Beat kutoka nchini Nigeria, Davido ameweka wazi albamu zake bora siku zote na anazopenda kuzisikiliza mara kwa mara.
Msanii wa Afro Beat kutoka nchini Nigeria, Davido ameweka wazi albamu zake bora siku zote na anazopenda kuzisikiliza mara kwa mara. Davido ametaja albumu ya mwanamuziki kutoka nchini Marekani Usher ya ‘Confession’ ya pili ikiwa ni ya ‘rapa’ 50 Cent ya ‘Get Rich or Die Tryn’ na ya mwisho ni yake mwenyewe ya ‘Timeless’.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live