Menu ›
Burudani
Tue, 27 Feb 2024
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Bilionea ni mtu ambaye utajiri wake unaanzia Dola za Kimarekani bilioni moja (1B USD), kwa mujibu wa tovuti ya "Stastista" mpaka kufikia mwaka 2022 ulimwenguni inakadiriwa kulikuwa na zaidi ya mabilionea 3000.
Ifuatayo ni miji inayoongoza kwa kuwa na mabilionea wengi zaidi;
New York - Marekani: 101 Hong Kong - China: 70 Beijing - China: 68 Shanghai - China: 65 London - Uingereza: 63 Moscow - Urusi: 61 Mumbai - India: 56 Shenzhen - China: 54 Singapore - Singapore: 46 Delhi - India: 37 San Francisco - Marekani: 37
Source: Forbes, 2023.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live