Menu ›
Burudani
Mon, 21 Aug 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Staa wa Muziki wa Bongo Fleva, Harmonizr ameweka wazi kuwa Cheni,Hereni na Saa zimegharimu zaidi ya Tsh milioni 109.
Hereni - Tsh Milioni 2 Cheni - Tsh Milion 100 Saa- Tsh Milioni 7.5.
Unakubaliana na hilo?
Chanzo: www.tanzaniaweb.live