Menu ›
Burudani
Wed, 25 Oct 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Kupitia mahojiano aliyofanya na mtandao wa Audiomackm, Aslay Isihaka ameweka kuwa wasanii anao wasikiliza zaidi ni Diamond Platnumz, Harmonize na Kizz Daniel na hii niikutokana na kazi za wasanii hao wanazo zifanya.
Kupitia mahojiano aliyofanya na mtandao wa Audiomackm, Aslay Isihaka ameweka kuwa wasanii anao wasikiliza zaidi ni Diamond Platnumz, Harmonize na Kizz Daniel na hii niikutokana na kazi za wasanii hao wanazo zifanya. Wewe unapenda kusikiliza nyimbo za msanii gani?
Chanzo: www.tanzaniaweb.live